sylvesterwille
Senior Member
- Nov 29, 2013
- 172
- 41
Nisaidieni jamani mchango wa mawazo yenu,.
Nina demu ambae nipo nae kimapenzi zaidi,Ananipenda sana namm nampenda! Tatizo lipo pale ninapotaka kufanya nae mapenzi huwa nikimchezea sehemu zote ambazo zinauwezo wa kumnyegesha mwanamke haraka huwa Hisia zake zipo mbali sana,Inafikia hatua anakukodolea macho tu nakujichekeshachekesha lkn hana hata dalili za kuwa kene mapenzi macho makavuuu namwili hautepeti au kuwa legevu km wanawake wengine! Naomba kuulza hii inakuaje kwa upande wake!??
Nina demu ambae nipo nae kimapenzi zaidi,Ananipenda sana namm nampenda! Tatizo lipo pale ninapotaka kufanya nae mapenzi huwa nikimchezea sehemu zote ambazo zinauwezo wa kumnyegesha mwanamke haraka huwa Hisia zake zipo mbali sana,Inafikia hatua anakukodolea macho tu nakujichekeshachekesha lkn hana hata dalili za kuwa kene mapenzi macho makavuuu namwili hautepeti au kuwa legevu km wanawake wengine! Naomba kuulza hii inakuaje kwa upande wake!??