nyambari JF-Expert Member Nov 3, 2010 355 171 Jul 13, 2011 #1 Mi siamini kama jamaa kweli kamwaga mpunga au ndo zile siku tisini za kaka Nape Mi namtakia biashara nzuri zenye tija na mafanikio.
Mi siamini kama jamaa kweli kamwaga mpunga au ndo zile siku tisini za kaka Nape Mi namtakia biashara nzuri zenye tija na mafanikio.
norbit JF-Expert Member Jul 30, 2007 835 699 Jul 14, 2011 #2 ccm........ccm..ccm, hiki chama kinanikosha kweli, hakina udini, urangi, ukabila, unanhiii !!!!!!! hapa dili tu, ukiwa jambazi mzuri utawekwa mbele tu. wanachiwa cuf na chadema wamalizane.
ccm........ccm..ccm, hiki chama kinanikosha kweli, hakina udini, urangi, ukabila, unanhiii !!!!!!! hapa dili tu, ukiwa jambazi mzuri utawekwa mbele tu. wanachiwa cuf na chadema wamalizane.
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,348 Jul 14, 2011 #3 Yukle jamaa pale magogoni nadhani gamba lake ni la kobe kabsaaaa, sijui kama linavuka
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,564 52,200 Jul 14, 2011 #4 ndiyo michezo ya siasa hiyo, tuwangojee hawa mapacha wawili waliobakia.
i411 JF-Expert Member Mar 23, 2011 906 290 Jul 14, 2011 #5 anajitangazia biashara huyu anaona inalipa zaidi ya kuumizana vichwa kwenye siasa
P PhD JF-Expert Member Jul 15, 2009 4,598 3,671 Jul 14, 2011 #6 amekula hadi amevimbewa afadhali ang'atuke vinginevyo atapasuka
kichomi JF-Expert Member Mar 22, 2011 507 54 Jul 14, 2011 #8 Chimunguru said: Yukle jamaa pale magogoni nadhani gamba lake ni la kobe kabsaaaa, sijui kama linavuka Click to expand... Kobe ukimvu gamba tu anakufa.
Chimunguru said: Yukle jamaa pale magogoni nadhani gamba lake ni la kobe kabsaaaa, sijui kama linavuka Click to expand... Kobe ukimvu gamba tu anakufa.
G Gwesepo Senior Member Oct 26, 2010 134 12 Jul 14, 2011 #9 huyu ana mkono mrefu mwizi kwelikweli,,anamchezo mchafu wa wizi arudishe hela zetu au akamatwe na afirisiwe.
huyu ana mkono mrefu mwizi kwelikweli,,anamchezo mchafu wa wizi arudishe hela zetu au akamatwe na afirisiwe.