KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 525
- 1,100
Salaam,sisi ni binadamu hua Kuna vidharura vya ghafla.Mfano hapo wapo ibada ya maziko halafu mfano kiongozi kashikwa na tumbo la kukata au Hali mbaya kiafya wanafanyeje?
Au mfano kiongozi ana taka kupata short Call mana wazee wengi haipiti nusu saa wanapenda short call sometimes.
Sasa hapo naona wanakaa mda mrefu sioni mtu akienda short call ,au Kuna dawa wanatumia kuzuia?
Au mfano kiongozi ana taka kupata short Call mana wazee wengi haipiti nusu saa wanapenda short call sometimes.
Sasa hapo naona wanakaa mda mrefu sioni mtu akienda short call ,au Kuna dawa wanatumia kuzuia?