juma sal
Senior Member
- Dec 18, 2011
- 156
- 88
Hivi huyu kongosho mwanaume au mwanamke? mana simuelewielewi some time namfikiria kama mdada na namtamani nipate nae kamda hivi ili kama ikiwezekana na akikubali nikale nae GUDTYM.
Na ninapowaza hivi hufikiria ku-pm lakini huwa nasita ila nikisomaga post zake nyingine nyingine lol, kichwani kwangu humuona kama kidume kilichojaaliwa ufedhuli.
Basi ili mradi kizunguzungu sasa ww uliesoma hii post hebu nijibu sitaki maswali sitaki unambie nimuulize mwenyewe sitaki majibu mabaya
Na ninapowaza hivi hufikiria ku-pm lakini huwa nasita ila nikisomaga post zake nyingine nyingine lol, kichwani kwangu humuona kama kidume kilichojaaliwa ufedhuli.
Basi ili mradi kizunguzungu sasa ww uliesoma hii post hebu nijibu sitaki maswali sitaki unambie nimuulize mwenyewe sitaki majibu mabaya