Hivi huyo polisi wa ruvuma vp?

Tatizo la polisi wetu hali zao ni mbaya lakini wanajidai hawaoni.
Wakikamata bangi wanavuta mzigo wote ili kuondoa stress.
Wakikamata gongo wanaigida yote.
Wakikamata unga wana I sniff utadhani wao ndio sniffing dogs.
Kwa mwendo huo unadhani watakuwa na akili timamu?
Ndo maana wanaacha doria na kwenda kucheza disco huku wakiwa na binduki zao

Hapo kwa 1st line hapo mmmh; ndio kusema unawashauri Polisi nao wagome au?
 
Na nyie, huu mgomo wa walim au wanafunzi?
Waoga wakubwa mnaacha kuandamana nyie mnawatuma watoto.lol!

Jitokezeni muandamane nyie.

Nilidhani jicho lako linaona mbali, kumbe myopic!
 
Nilifundishwa zamani kuwa Ukibishana na mtu punguania asiyejitambua inaweza kueleweka kuwa wote ni pungwani. Maana hata unachosema inaonyesha umekata tamaa

Punguani na aliye kata tamaa ni wewe ambaye hujui ulifanyalo!
 
Nilidhani jicho lako linaona mbali, kumbe myopic!

Ungeona linaona mbali kama lingeona unachoona wewe, huo ni weredi finyu kila mtu anaona kwa mtizamo wake.
Be critical yaya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom