Mimi nafkiri huwa wanafanyiwa mchezo mbaya huku wakirekodiwa kwa video
Siku wakiachiwa wanatishiwa kuwa ukisema tu,!!!!!
Tutaisambaza video yako mitandaoni
Ndio maana huwa hawasemi wanakufa na tai yao shingoni
View attachment 908230
Unafikiri kwanini wakirudi hawaongei hata chembe.........? uwe cheo,uwe maarufu,uwe na pesa ..........thubutu mdomo ni full closed
Maana yake nini na inakupa picha gani?
aisee haya mm nadhani itakuwa hivo maana ukimya huo siyo kawaidaMimi nafkiri huwa wanafanyiwa mchezo mbaya huku wakirekodiwa kwa video
Siku wakiachiwa wanatishiwa kuwa ukisema tu,!!!!!
Tutaisambaza video yako mitandaoni
Ndio maana huwa hawasemi wanakufa na tai yao shingoni
Walimuambarutikisa