Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,493
- 2,366
HahahhaahKwani nyie wakimbizi?
HahahhaahKwani nyie wakimbizi?
Kwani nyie wakimbizi?Wewe uko kama mimi tu, inahitaji kupiga ramli ili kuelewa mtoa post alikuwa anamaanisha nini
Kwani nyie wakimbizi?Wewe uko kama mimi tu, inahitaji kupiga ramli ili kuelewa mtoa post alikuwa anamaanisha nini
Kwani nyie wakimbizi au ni wageni nchi hii?!Wewe uko kama mimi tu, inahitaji kupiga ramli ili kuelewa mtoa post alikuwa anamaanisha nini
inategemea na tabia ya mtu husikaJe,ushamba ni wa vitu na hakuna ushamba wa madaraka?
Je,hujawahi ona mtu kapewa cheo cha umeneja tu basi inakuwa shida kwake mwenyewe na kwa wengine?
Wadau hebu tujadiliane juu ya hili.
Kwani nyie wakimbizi au ni wageni nchi hii?!Wewe uko kama mimi tu, inahitaji kupiga ramli ili kuelewa mtoa post alikuwa anamaanisha nini
Kwani nyie wakimbizi au ni wageni nchi hii?!Wewe uko kama mimi tu, inahitaji kupiga ramli ili kuelewa mtoa post alikuwa anamaanisha nini
Labda uchu, ila sio ushamba. Wengine ni malimbukeni.Kama ni ushamba wa madaraka basi atakuwa nao Lowasa.
Mmeanza kujihisi [emoji23][emoji23][emoji23]Umeacha kumuuliza LWS jana alikua Azam tv anahojiwa,huyo lazima angekupatia majibu kwani hio kitu inamuhusu
ahahahaNi mshamba kweli kweli, na hili naliongea kwa dhati kabisa kutoka ndani ya moyo wangu
Pia siku hazigandi kamweHakuna marefu yasiyo na ncha
Lowassa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKama ni ushamba wa madaraka basi atakuwa nao Lowasa.
Hahahaha Mkuu, ubaya wa jiwe la gizani. Halichagui ila ukisikia kilio ujue tayari kuna aliyepatwa. [emoji16][emoji16][emoji16]Mawe ya gizani, ukisikia nduru ujue jiwe halijakosea lilikoelekezwa
Mkuu ndio uzuri wa jiwe la gizani, ukisikia kilio ujue tayari. [emoji16][emoji16][emoji16]Mmeanza kujihisi [emoji23][emoji23][emoji23]