Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,643
- 164,790
Je,ushamba ni wa vitu na hakuna ushamba wa madaraka?
Je,hujawahi ona mtu kapewa cheo cha umeneja tu basi inakuwa shida kwake mwenyewe na kwa wengine?
Wadau hebu tujadiliane juu ya hili.
Je,hujawahi ona mtu kapewa cheo cha umeneja tu basi inakuwa shida kwake mwenyewe na kwa wengine?
Wadau hebu tujadiliane juu ya hili.