Inategemea unamaanisha nini, mkonga upo ila kuusambaza nchi nzima ndo kazi inayoendelea sasa hivi. Pia Rwanda haujapitia kwetu umepitia Kenya --> Uganda, baada ya kutuona sisi wababaishaji.
Mkonga hauifanyi spidi kuwa mzuri automatically, makampuni ya simu inabidi yanunue capacity na hiyo ni gharama kubwa.