Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,309
Habari za majukumu wakubwa na wadogo. Poleni na kazi na wale waliofunga kama mimi Mungu atusamehe tulipokosea ndani ya mwezi huu. Niende moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi kila siku tunasikia kuna matapeli wa mitandaoni ambao wanajihusisha na wizi fedha kwa udanganyifu... Sasa nakua nikisikia kwamba serikali imewakamata wezi hao na huku wakiendelea kuwasaka wengine ili kukomesha tatizo hili.
Sasa napata maswali. Je hawa wengine ambao bado wanaendelea na mchakato wao wanakua serikali haiwapati ama inakuwaje?
Au wale waliokamatwa wanakua wanaachiwa na polisi baada ya hapo wanakuja tena kufanya kazi zao?
Iko hivi kila siku tunasikia kuna matapeli wa mitandaoni ambao wanajihusisha na wizi fedha kwa udanganyifu... Sasa nakua nikisikia kwamba serikali imewakamata wezi hao na huku wakiendelea kuwasaka wengine ili kukomesha tatizo hili.
Sasa napata maswali. Je hawa wengine ambao bado wanaendelea na mchakato wao wanakua serikali haiwapati ama inakuwaje?
Au wale waliokamatwa wanakua wanaachiwa na polisi baada ya hapo wanakuja tena kufanya kazi zao?