Hivi huo ufisadi wanaufanyaje?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello JF,

Kama wengine walivyoshtuka Ufisadi uliotajwa na CAG, mimi pia nimeshangaa. Ningependa kumshauri Rais na washauri. wake kusimamia Mali za Watanzania vyema kila Mtanzania ale keki ya taiifa.

Ningependa kujua utaratibu ni upi wa kuidhinisha pesa maanake kiwango cha ufisadi ni kikubwa sana. Mimi na-suggest kama pesa inatolewa in lump sum, then huu utaratibu ufe. Wizara ama project inayohitaji hela lazima iwe broken into small chunks.

Pesa itolewe kidogo kidogo kufanya lililokusudiwa and then utaratibu uwepo wa ku re-evaluate hizo project kabla ya kuidhinisha pesa nyingine.

Utaratibu uwe evidence practice, kwanza inaonyesha ulichofanya then ndio unapewa hela to do next step.

Tumsaidie Rais wetu maanake Haya mafisadi yanamvua nguo as angependa serikali yake iwe ya wanyonge kina Becky hapa.☺☺☺😢😩
 
Nadhani ndivyo ilivyo upigaji wanafanya wakubwa wakati wanapotangaza tender % fulani lazima imegwe hivyo miradi kutoonekana na thamani ya kilichoandikwa pindi imalizikapo
 
Hello JF,

Kama wengine walivyoshtuka Ufisadi uliotajwa na CAG, mimi pia nimeshangaa. Ningependa kumshauri Rais na washauri
wake kusimamia Mali za watanzania vyema kila mtanzania ale keki ya taiifa.

Ningependa kujua utaratibu ni upi wa kuidhinisha pesa maanake kiwango cha ufisadi ni kikubwa sana. Mimi na-suggest kama pesa inatolewa in lump sum, then huu utaratibu ufe. Wizara ama project inayohitaji hela lazima iwe broken into small chunks.

Pesa itolewe kidogo kidogo kufanya lililokusudiwa and then utaratibu uwepo wa ku re-evaluate hizo project kabla ya kuidhinisha pesa nyingine.

Utaratibu uwe evidence practice, kwanza inaonyesha ulichofanya then ndio unapewa hela to do next step.

Tumsaidie Rais wetu maanake Haya mafisadi yanamvua nguo as angependa serikali yake iwe ya wanyonge kina Becky hapa.☺☺☺😢😩
Ukisoma report ya CAG utagundua kuwa ufisadi umeongezeka tangu jiwe aingie madarakani ni ajabu. Na CAG huyu atakuwa mwiba mkali hata zaidi ya CAG aliyepita kama ataamua kutokuangalia nyani usoni hata boss wake ataumbuka.
 
Huyo unayetaka tumsaidie usikute angebainika kufanya na yeye ufisadi wa kutisha iwapo ukaguzi huru ungempitia! NB: Sijamtaja jina tafadhali.
 
Basi wote tumeoza,lol, hata kama ni kuchota sio kwa kiasi kile,very selfish

Unachotakiwa kujua ni kwamba huyo unayezungumzia kusaidiwa ana bariki hizo kazi.

Ndiyo maana hataki hata kukaguliwa, au anachagua nani amkague ili kinachoripotiwa kiwe kile tu ambacho yeye anataka tusikie.
 
Hello JF,

Kama wengine walivyoshtuka Ufisadi uliotajwa na CAG, mimi pia nimeshangaa. Ningependa kumshauri Rais na washauri. wake kusimamia Mali za Watanzania vyema kila Mtanzania ale keki ya taiifa.

Ningependa kujua utaratibu ni upi wa kuidhinisha pesa maanake kiwango cha ufisadi ni kikubwa sana. Mimi na-suggest kama pesa inatolewa in lump sum, then huu utaratibu ufe. Wizara ama project inayohitaji hela lazima iwe broken into small chunks.

Pesa itolewe kidogo kidogo kufanya lililokusudiwa and then utaratibu uwepo wa ku re-evaluate hizo project kabla ya kuidhinisha pesa nyingine.

Utaratibu uwe evidence practice, kwanza inaonyesha ulichofanya then ndio unapewa hela to do next step.

Tumsaidie Rais wetu maanake Haya mafisadi yanamvua nguo as angependa serikali yake iwe ya wanyonge kina Becky hapa.
Hello Rebecca,

Rais tunae, ila watendaji wake hana. Ukatoa mishangao yote ila LA watumishi hewa tena Polisi...limenishangaza sana. Wateule wake woote jafo anajitahidi sana. 'Anaekwenda na beat'

Chakufanya, namshauri Rais atumie namna nyingine kuteuwa watu sahihi ikiwezekana ateue hata wapinzani ili wamsaidie kwenye utendaji wake WA kazi.
Bado matumizi fedha za uma ni ya hovyo. Wakati mwingine hayajapitishwa na bunge. Hii nchi ina mambo mengi sana na safari bado ni ndefu pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upigaji upo kwenye;
1. Tendering, hapa makubaliano yanafanywa mapema ili either usishindanishwe au ushindani utolewe kama "bosheni" tu.
2.Ukaguzi wa miradi, utaambiwa kazi mbovu ili uanze ku-panic na kuanza kumwaga pesa ili mradi wako upitishwe.
3.Uidhinishaji na utoaji wa pesa(wakati wewe una-submit certificate ili uwekewe mkwanja wako hapo walioshikilia mpini watakuzungusha hadi utoe pesa ndio upate pesa.

Bottom line, wasimamizi wa rasilimali za nchi WENGI sio waaminifu, sio wazalendo na ni wapigaji tu kama vibaka wa mtaani tofauti yao wanatumia kalamu kuiba. Hadi hapo tutakapobadilka, wao wataendelea kula keki ya taifa huku mtaani wakila viporo vya ugali.
 
Kama kweli mtukufu ana uchungu na hii nchi ripoti ya mwaka Jana ingefanyiwa kazi ila ndyo yaleyale ata ripoti ya mwakani itaonesha madudu mengi zaidi ya hii kile chama ata aingie malaika atakuwa shetani tu tatizo la hii nchi ni kubebana na taasisi za kusimamia Sheria kukosa Meno amri Hadi itoke juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very good. Unampa tender mtu kujenga gh'orofa, unampa pesa ya foundation, anamaliza, tena chini ya usimamizi. Unakwenda Mwenye Mali unakagua. Kama ujenzi umekwenda chini ya makubaliano, mjenzi, msimamizi wote viboko vya makalioni!!!!!!

Ni mwendo wa viboko tu hamna namna..hahhaha umenichekesha.
 
Back
Top Bottom