Hata kama hawalipwi posho, je wanakuwa wapi ? Maana muda mwingi vitu huwa wazi. Kama wanafanya kazi maalum kama vile vikao vya Kamati mbali mbali sawa, lakini kama wanakuwa kwenye shughuli zao hata kama posho hawalipwi lakini wanatumia muda wetu vibaya, sisi ndio tumewapeleka huo, vinginevyo wasingekuwa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.