Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,501
- 27,000
Maisha ni 4G sasa watu tunaishi kwa budget ukija kwetu bila taarifa unaambulia story na hatuli mpaka usepe
Maisha ni 4G sasa watu tunaishi kwa budget ukija kwetu bila taarifa unaambulia story na hatuli mpaka usepe
Wadau,
Naona kama Watanzania wa sasa wamebadilika tofauti na zamani. Yaaani siku hizi siku zinapita fasta tu. Lile shangwe na vibe hakuna; yaani mapilau aisee hayapo.
Maisha yanaendelea kama kawaida aisee watu wanaishi kizungu sasa hakuna kutembeleana kama Ulaya.
Nishapita nyumba mbili no pilau; nimekula story nimeondoka
hahahahahhaaIla kama huna hela leo ni ijumaa ya tarehe 1/1/2021..!
Nielekeze kwenye mikwasukwasu niwe Naenda. Mwezi wa sita kilo ilikuwa 6500 leo 9000. Uzuri tunaumia wote hata praise team wamo.Dar kilo ya nyama ni sh 9000/= labda kama unanunuwa bucha linalouza mikwasukwasu unaweza kupata nyama kilo sh 7000/=
😡😡Maisha ni 4G sasa watu tunaishi kwa budget ukija kwetu bila taarifa unaambulia story na hatuli mpaka usepe