Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Kama swali nilivyouliza hivi hili neno kigogo linamaanisha nini?
Na ili mtu uwe kigogo unatakiwa kuwa na sifa zipi,?
Na huo ukigogo ni Cheo au neno tu la kumkuza mtu furani?
Note: Sizungumzii kigogo( wagogo) kama kabila nazungumzia neno lake.
Mfano utasikia mtoto wa kigogo atiwa mbaroni au kigogo flani afanya kufuru jijini dar,
Hii ni kwa mujibu wa magazeti yetu ya bongo.
Sasa nataka kujua ili neno kigogo.
Na ili mtu uwe kigogo unatakiwa kuwa na sifa zipi,?
Na huo ukigogo ni Cheo au neno tu la kumkuza mtu furani?
Note: Sizungumzii kigogo( wagogo) kama kabila nazungumzia neno lake.
Mfano utasikia mtoto wa kigogo atiwa mbaroni au kigogo flani afanya kufuru jijini dar,
Hii ni kwa mujibu wa magazeti yetu ya bongo.
Sasa nataka kujua ili neno kigogo.