She loves Me
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 809
- 939
Wadau za saa hz? Mie naomba kuuliza tu, hivi hili neno haki lina maana gani hasa?
Unakuta mwanasiasa mpinzani anasema yupo tayari kufa kwa ajili ya kutafuta haki.
Mwenye madaraka nae anasema hvohvo,
Wanahabari nao hivohivo
Ukija kwa wanaharakati halikadhalika.
Jeeeeeee kipi ni kipi hapo?
Nimejiuliza tu, hivi nikwel wanaopotea huwenda wanakutwa na unyama kama huo hapo chini??????
EEEE MOLA TUOKOE INSHAALLAHView attachment VID-20181120-WA0008.mp4
Unakuta mwanasiasa mpinzani anasema yupo tayari kufa kwa ajili ya kutafuta haki.
Mwenye madaraka nae anasema hvohvo,
Wanahabari nao hivohivo
Ukija kwa wanaharakati halikadhalika.
Jeeeeeee kipi ni kipi hapo?
Nimejiuliza tu, hivi nikwel wanaopotea huwenda wanakutwa na unyama kama huo hapo chini??????
EEEE MOLA TUOKOE INSHAALLAHView attachment VID-20181120-WA0008.mp4