Viongozi wa ngazi za juu wastaafu wajiepushe kushiriki kwenye siasa ili kujitunzia heshima yao. kwenye siasa lolote laweza kutokea. Badala yake wafanye kazi za ushauri na usuluhishi. Aidha nashauri ccm waache kusema kwamba kwa sababu Rais anatoka ccm basi wananchi wachague mbunge kutoka ccm hii inaweza kuleta hisia kwamba rasilimali za nchi zinagawanywa kwa upendeleo. pia kama ndivyo itakuwa haina maana ya kuwa na uchaguzi wa vyama vingi.
niliwahi kuona sehemu pameandikwa 'truth well told'.tushukuru kwa kuwa tumejua yaliyokuwa sirini.
tumsubiri mkapa aseme kosa la mwalimu lilikuwa nini.
akiweza aombe msamaha kwa kutuuliwa baba wa taifa letu.
Wana jamii F nimesikitishwa sana na malumbano yanayoendelea na kuripotiwa na vyombo vya habari, nini kifanyike ili kuepusha/kusitisha malumbano yanayoendelea?
Hapa hakuna wa kunyamazishwa mpaka Scotland Yard waendeshe uchunguzi huru na tuambiwe hasa ni nini kilimuuwa Baba wa Taifa, otherwise huyu mashavu mapana kuna siku atakiona cha mtema kuni.Wana jamii F nimesikitishwa sana na malumbano yanayoendelea na kuripotiwa na vyombo vya habari, nini kifanyike ili kuepusha/kusitisha malumbano yanayoendelea?