Hivi hii tabia wanawake wote mnazo msaada jamani

Hivi hii tabia wanawake wote mnazo msaada jamani

Hahaaaa kuna wifi yako hapa anaupenda mimi huwa namwambia bora nikupgie simu tuongee tu yaishe...
Upande umekukumbusha nini huu msemo
Best friend angu na little cousin sis angu mmoja ndo wanapenda huo msemo especially wakiwa bored. Utaona tu vinanitext "tuchat basi", yani huwa najikuta nacheka tu
 
Mkuu ushauri..
Wanawake wapo wengi na kila mmja anamzuri na mapungufu yake..
Lamsingi wewe tafuta yule ambae utaweza kuvumilia vimbwanga vyake, Lakini kila mwanamke anavimbwanga vyake..tena havina Kikomo..
😱😛😵
 
Back
Top Bottom