Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Hiyo ya kulatika bila shaka wamejifunza kutoka kwa Mzee Mwandambo.
Hiyo ya kupiga picha huku wamefunua boksa nadhani wamekopi na kupesti kutoka kwa anko T.
Kuna hii ya kutingisha makebo watembeapo ambayo Kubwa la Maadui anaipromote kwa nguvu zote.
My take: watoto wetu wa kiume tuwafundishe vile ambavyo mwanaume anapanswa kuwa. Nukta, mwisho wa kunukuu 😎
Kataa kufyatua tu watoto na kutelekeza familia, kataa usambazaji wa single mothers, be gentleman kiuwajibikaji.Yaan una kuta kijana wakiume ana piga picha ana funua shati ana onyesha boxer for which reason au kavaa kata k kiasi kwamba akiinama makalio yapo njeee nashindwa kuelewa kabisa na unapo jaribu kumuelimisha kwa namna fulani una onekana mshamba
Af pia tabia ya kukatika yaani hii ndio sijawai elewa kabisa yaan wana shindana kukatika mbaya zaidi sasaiv wazazi mna waaachia watoto simu na simu ina onyesha kila kitu anapo ona watu wana fanya ivyo ana chukulia kawaida
Mfundishe mtoto wako wakike au wakiume ajue thaman yake katika jamii na zaidi ajue miiko yake kulingana na jinsia yake nini ana paswa kufanya na nini hapaswi kufanya mfundishe akiwa mdogo
Ni hayo tu
Wakati mwingine wazazi wanawalea watoto wao vizuri tu, lakini watoto wanaigana wanakutana na wenzao.For sure kuna mahali wazaz walikosea kulea basi watu tujitahid kuto rudia makosa
Kataa kufyatua tu watoto na kutelekeza familia, kataa usambazaji wa single mothers, be gentleman kiuwajibikaji.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Wakati mwingine wazazi wanawalea watoto wao vizuri tu, lakini watoto wanaigana wanakutana na wenzao.
Kumbuka anayeiga siku zote humzidi yule anayemuiga.
Yes.Sahihi kabisa that why nasema akumbushwe kuwa yeye ni nan kila wakati na nini ana paswa kufanya kwa wakati upi
Ndo michezo yenu hiyo vijana wa dar
Binafsi naona wanaume wa Dar ni mchelemcheleMimi nitoe ukoo
Binafsi naona wanaume wa Dar ni mchelemchele
Anaonyesha yalivyo Malaini kwa wahuni ili apakuliwe.
Boss tafsida kidogo 😂
Angalia hata Picha uloweka kwenye avatar? Ina reveal mengi kuhusu wewe. Sio kwa ubaya na sio kuku judge lakiniNi mtazamo wako kutokna na observation yako
Hao ni machoko wanauza matter core sio wanaume
Sijatukana kabisa mbona.