Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 954
- 510
Wana jf mnaonaje mwenendo wa utendaji kazi wa serikali?Mimi binafsi naona kuna ubaguzi mkubwa sana kwa baadhi ya mikoa toka kupata uhuru,kwa mfano kuna mikoa kama ruvuma hakuna chuo kikuu hata kimoja cha uma ili hali kuna mikoa ina vyuo vikuu zaidi ya viwili huu sio upendeleo?kuna umuhimu gani wa mkoa mmoja kujaza vyuo tele wakati mikoa mingene hakuna hata kimoja?haya ona barabara toka njombe hadi songea ni mbaya sana,haijafanyiwa marekebisho toka alivyoijenga mkoloni, huu si ubaguzi wa wazi dhidi ya wananchi?ona baadhi ya mikoa barabara imetinduliwa mara ngapi!lami ikipata nyufa kidogo tu inatinduliwa haraka sana.naumia sana yako mengi.