Kuna mahali nimepewa offer ya Massage kesho Ijumaa, sijui inakuwaje hiyo makitu.
Mwenye uzoefu tafadhali, nisije pata kesi ya kubaka mie........................................LOL
Kuna mahali nimepewa offer ya Massage kesho Ijumaa, sijui inakuwaje hiyo makitu.
Mwenye uzoefu tafadhali, nisije pata kesi ya kubaka mie........................................LOL
Mwambie mama ngina akamue mawese kabisa uwende ukiwa mwepesi........na je ukikuta na masusi wa kiume? We jitayarishe kimoyo na kimwili. Tosha
wazo zuri lakini akifika kule akakuta amewekewa korosho na karanga... wakati anasubiri huduma je...??
hata akikamua hawezi kumaliza sana sana atakuwa amepata lile tui la nazi badala ya maji ya mchele
Ndio maana nimemwambia ajitarishe kimwili na kiakili...........bhaaaaas!
wewe unaweza mpa mtu offer ya massage?
Kwanini nimpe what's in it for me? Halafu mimi sijui fanya masaji
Ukipewa offer ya kufanyiwa massage ?
Ukibaka kwa kinga adhabu inaponguzwa...
By the way, aliyekwambia masaji itafanyiwa na mwanamke ni nani??
Mabwabwa yana mikono laini siku hizi! Shaurilo.