Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

Mawazo yako niyakimasikini alafu unasahau kua mapenzi au maisha kwa ujumla hayana kanuni.Hizo ni zawadi tu nakila mtu anafanya kwa uwezo wake sasa hiyo haipunguzi lolote kwenye maisha yandoa endapo wanandoa husika wanajielewa.Kama hawajielewi ata wasipopewa kila kitu kama nikuzinguana watazinguana tu.
 
Bi dora Kwa muktadha huo huoni kwamba wengine wanaweza kutumia mwanya huo kuoa kwa lengo la kujipatia vyombo vya kuanzia maisha? Imagine mimi naishi huku Nyampulukano kisha namuoa bhooke kutoka majita huko kasoma Mara na anapewa mavitu vitu yote hayo kisha namuacha namuoa Nyanzige huoni kwamba huko ni kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu?
Sikumaanisha akae chini na mumewe mtarajiwa wadiscuss, bali a note vitu ambavyo hapo kwa mume havipo na wakati ananunuliwa zawadi apendekeze hivo vitu. Hii itaepuka kuwa na vitu double na pengine ununuliwe vitu ambavyo kiukweli hauvihitaji mwishowe unaviacha tu kwenu sababu hamna nafasi etc.
 
Bi dora Kwa muktadha huo huoni kwamba wengine wanaweza kutumia mwanya huo kuoa kwa lengo la kujipatia vyombo vya kuanzia maisha? Imagine mimi naishi huku Nyampulukano kisha namuoa bhooke kutoka majita huko kasoma Mara na anapewa mavitu vitu yote hayo kisha namuacha namuoa Nyanzige huoni kwamba huko ni kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu?
Utakuwa huna mahesabu, hiyo pesa utakayotumia kwenye mahari, maandalizi ya harusi si bora ununue vyombo?
 
Ivi mwanaume anajisikiaje anafunga ndoa anahamia Kwa mwanamke halafu anakuta kila kitu kipo ndani yy anafanya kuhamia na tunguo tudogo tudogo kwenye rambo hata begi hana
Wanaume mnakwama wapi
 
Unaonekana wewe ni ndugu mwenye roho mbaya na mwenye gubu huko kwenye hiyo familia
 
Mimi najivunia baba angu mzazi. Mzee nilipomwambia naona tata, akaniambia kijana usiwe nq wasi. Tafuta mke, kisha niambie. Siku wanaenda kuelewana mahari ndio hiyohiyo siku zikaenda ng'ombe 11 kwao binti
Habari zenu wanandugu!!!

Nimekuwa mshenga nasimamia harusi ya ndugu yangu. Jana tulikuwa tunawaza zawadi ya bibi harusi tukataja mambo mengi sana. Kisha nikawaza..
1. kuna haja kweli ya familia ya bibi harusi kumnunulia kila kitu binti yao wakati anaenda kuolewa? yaani kitanda, kabati, vyombo, mashuka hadi nguo za ndani night dress etc

2. Sasa kazi ya bwana harusi ni nini? yaani unampa binti yako na sehemu ya kumkazia pia?

3. Hatuoni ya kwamba ile hali ya maharusi kuanza kwa pamoja wanajichanga kidogokidogo wanafanikisha kitanda kabati tv mpaka wanakuwa wakubwa hujenga bond nzuri katika mahusiano?

4. Hatuoni ya kwamba kumpatia kila kitu ni sawa na kumuambia kaa ukiwa tayari kusepa kwenda kupanga?

5. Kwa wanaume ambao mmeoa mkakuta kila kitu uanaume wenu unakaa wapi? au mnajisikia hali gani?

karibuni wadau
 
Tatizo lako mleta mada ni "Wivu"
Wewe hukufanyiwa hivyo thus why
unapinga.
Hizo ni zawadi,na si msaada.
Hivyo watu wakitoa in vyema
kuzipokea,tena kwa furaha.
 
Back
Top Bottom