gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Mawazo yako niyakimasikini alafu unasahau kua mapenzi au maisha kwa ujumla hayana kanuni.Hizo ni zawadi tu nakila mtu anafanya kwa uwezo wake sasa hiyo haipunguzi lolote kwenye maisha yandoa endapo wanandoa husika wanajielewa.Kama hawajielewi ata wasipopewa kila kitu kama nikuzinguana watazinguana tu.