mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 614
- 802
View attachment 1391271mkaamweusi tafuta hiyo mwaya...hiyo uliyopost ni sabuni tena zinauzwaga elfu 3. Si ajabu hata wamekupiga
Ndio iyo iyo mkuu. Ila sabuni ya kawaida inafanya kazi fresh tu. Nenda shop nunua sabuni safi ya kuogea. Nawa mikono.
Hio sio sanitizer. Hio ni sabuni ya maji.Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer"
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili! Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio sio sanitizer. Hio ni sabuni ya maji.
Sabuni yeyote Ni sanitizer kwa hivi virus,,vina Gamba la mafuta ambayo sabuni ikiwa applied vinakufaHio sio sanitizer. Hio ni sabuni ya maji.
Mbavu zangu mie! hapana, sio sanitizer hiyo!Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza uza Bei juu,lakini ujue mda wowote utajikuta lokapu kwa uhujumuMaenyewe basi nilikua sijui. Izo Sanitaiza bei gani zinaenda? Huchelewi sikia zinauzwa fifte sahivi.