Zajioni wana jamvi juzi nilituma maombi ya kazi somewhere ila leo nimepokea email yao sasa ichi kipengele cha kutuma pesa apa 10000 kama bond ni kweli au ndo kupigwa?
Zajioni wana jamvi juzi nilituma maombi ya kazi somewhere ila leo nimepokea email yao sasa ichi kipengele cha kutuma pesa apa 10000 kama bond ni kweli au ndo kupigwa?View attachment 999235
Namba ndio inamaanisha hakuna utapeli?
Hata wale matapeli wanaotumaga meseji za "Ile Hela tuma kwenye namba ...., itatoa jina" si namba pia wanatumia kutapeli watu?
Cha msingi ni uone ofisi zao zilipo ujihakikishe kua ni kweli wana ofisi, na hizo kazi zipo kweli.
Iv mtu anawezaje kuandaa detailed info ivo kwa lengo tu lakutapeli buku 10?...c wangejikita ata ku develop app or something.
Waafrika ndo mana hatunaga maendeleo tunawaza namna yakupigana tu mda ote