Lkn wanadesign au inakuaj jombaaaMtaangusha magorofa ya watu nyie
Ok kumbe bs nawenyew wako fit kweny michoro.aliye design hostel za udsm ndo alisomea hy kozi.
ova
Habar wadau,hivi ni kweli watu wa aliyesomea urban and regional planning,hawaruhusiwi kudesign nyumba yenye gorofa,wenyew wanaruhusiwa kudesign nyumba ambaya haina gorofa.
Habar wadau,hivi ni kweli watu wa aliyesomea urban and regional planning,hawaruhusiwi kudesign nyumba yenye gorofa,wenyew wanaruhusiwa kudesign nyumba ambaya haina gorofa.
Mm nataka kusome hiyo koz mwakan jombaaa,maan mwak huu nilimekosa ada.ndio maan nikawa nauliza detals zake.Ww umesoma nn
eti ata choo hahahaNinavyojua hata choo hauruhusiwi kudesign maana sio taaluma yako,ww ni kupangilia mji tu mf.nyumba za makazi zikae wapi,viwanda vikae wapi,masoko yakae wapi,nyumba za ibada zikae wapi,sehemu za wazi zikae wapi n.k
Kwani hili linachekesha kwani wewe unaishi nchi gani? Watu na degree zao wako interview ya kupata nafasi kufundisha shule za Primary za English medium, tena huo ndo mwanzo utaona mengi mpaka mindset zentu zibandilika ili tuondowe dhana ya kuajiliwa na tujiajili wenyewe.Leo imenibidi nicheke kwa kweli,zile koz ambazo watu wanazidharau sasa hivi kumbe ndio dili,kama koz za utendaji wa kata,mtaa au kijij.
unazungumzia kozi au kadi ya chama??Leo imenibidi nicheke kwa kweli,zile koz ambazo watu wanazidharau sasa hivi kumbe ndio dili,kama koz za utendaji wa kata,mtaa au kijij.
Leo imenibidi nicheke kwa kweli,zile koz ambazo watu wanazidharau sasa hivi kumbe ndio dili,kama koz za utendaji wa kata,mtaa au kijij.
Kozi mzee,kama za chuo cha homborounazungumzia kozi au kadi ya chama??
Alaichomaanisha yeye ni zile kodi za chuo cha homboro dodoma na vinginevyo vya hivyo.Kuna chuo kinachofundisha utendaji wa kata na vijiji?