Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
mmesigana na mwenza wako kiasi kwamba hamna mawasiliano yoyote lakini mnamisiana sana tuu, halafu nite moja unaota ndoto tamu mno, mko wote mmepatana na mnakumbushana machungu ya kipindi ambacho mligombana, mnacheka kwa furaha, unageuka kitandani ili umkumbatie na kumbusu unashtuka na kujikuta ukn pekeyako kitandani usiku mwingi na mito yako
haya na ww ulipotelea wapi?
haya na ww ulipotelea wapi?
Nitafsirie hilo neno la mwanzo kabla sijasema kama imentokea au la
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
.....ndiyo hivyo ushauri,maoni nasaha zako zahitajika
kwanini umeuliza hivyo?
Hahahahaha atakiona leo.....subir nije kukusaidia kumkamata ukosi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mishe mishe besti, niambie.. mzima ww?
nimerudi lakin kwa part time.. soon nitakuwepo full moon!
enjoy this Angel Nylon!
i hope you will feel and love it..
Thanks angel, hiyo avatar ina ujumbe ndani, asante kwa kuuelewa!
Bila shaka utaufanyia kazi...
kwema lakini? habari za sasa besti?
Poa kabisa. Uspotee sn Besty. Sote tuko busy, Ila hua tunajitahd tupate wasaa wa kuja huku maskan walau siku ikamilike vizuri
ntajitahidi kuwa kwa hewa besti,
usijali kuhusu hilo! ila ukinimiss sana bana tuma basi hata PM nawe!!!
do that buddy... we speak through the private window sometimes! Goodnight
Nasubiria range rover langu au kontena bado haijatoka bandarini?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
andaa dola 169,000 za kimarekani, hiyo ndio bei halisi ya range rover kwa sasa!
hapo bado custom costs kibao!... karibu sana bandarini....!
kabanga ni sawa lakini ujue huwa harujipangii nini cha kuota? ni kitu kinachotokea automatically