Habari wana Jf.Naomba kuuliza hivi inawezekana mwanamke amekuzungusha miaka 03.Kisha akakubali na akawa anaupendo wa dhati?
Eti Wadada kwa experience yenu unaweza ukamzingua mwanaume muda mrefu na yeye akawa na mapafu ya mbwa ya kukufukuzia na mwisho ukamkubali na kumkabidhi moyo wako wote bila nusunusu?
Naomba kuwasilisha.
Eti Wadada kwa experience yenu unaweza ukamzingua mwanaume muda mrefu na yeye akawa na mapafu ya mbwa ya kukufukuzia na mwisho ukamkubali na kumkabidhi moyo wako wote bila nusunusu?
Naomba kuwasilisha.