Hivi hii inawezekana Wakuu?

The Hidden

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
246
101
Nimepata ramani ya nyumba ya kuishi, yenye vyumba 4( kimoja kati ya hivyo ni self contained), sitting room, dinning room, jiko,choo na bafu(public) ukubwa wa nyumba ni 107.5 sq m lakini naangalia humu jf mijadala mingi kuhusu ujenzi inaonesha kama sq meter za hii ramani yangu ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya vyumba.Wakuu, kwa aliye na utaalamu juu ya ujenzi, naomba nifahamisheni kama inawezekana kwa huo ukubwa wa nyumba ikawa na sq m 108 au mchoraji wangu wa ramani kanidanganya?
 
Nimepata ramani ya nyumba ya kuishi, yenye vyumba 4( kimoja kati ya hivyo ni self contained), sitting room, dinning room, jiko,choo na bafu(public) ukubwa wa nyumba ni 107.5 sq m lakini naangalia humu jf mijadala mingi kuhusu ujenzi inaonesha kama sq meter za hii ramani yangu ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya vyumba.Wakuu, kwa aliye na utaalamu juu ya ujenzi, naomba nifahamisheni kama inawezekana kwa huo ukubwa wa nyumba ikawa na sq m 108 au mchoraji wangu wa ramani kanidanganya?
Ina store pia wakuu
 
Nimepata ramani ya nyumba ya kuishi, yenye vyumba 4( kimoja kati ya hivyo ni self contained), sitting room, dinning room, jiko,choo na bafu(public) ukubwa wa nyumba ni 107.5 sq m lakini naangalia humu jf mijadala mingi kuhusu ujenzi inaonesha kama sq meter za hii ramani yangu ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya vyumba.Wakuu, kwa aliye na utaalamu juu ya ujenzi, naomba nifahamisheni kama inawezekana kwa huo ukubwa wa nyumba ikawa na sq m 108 au mchoraji wangu wa ramani kanidanganya?

Sijakuelewa au nimesoma haraka labda . Vyumba vinne vinapaswa kuwa vya kulala . Yaani bedrooms ikijumuisha na master bedroom . The remain , sitting room dining and kitchen usiite vyumba lakini ni sehemu inabeba nyumba maana ya four bedrooms . Kwa square m. Za hiyo aliyokuambia haiwezekani kabisa . Inapaswa kuwa mara mbili na zaidi .
 
Sijakuelewa au nimesoma haraka labda . Vyumba vinne vinapaswa kuwa vya kulala . Yaani bedrooms ikijumuisha na master bedroom . The remain , sitting room dining and kitchen usiite vyumba lakini ni sehemu inabeba nyumba maana ya four bedrooms . Kwa square m. Za hiyo aliyokuambia haiwezekani kabisa . Inapaswa kuwa mara mbili na zaidi .
Ni vyumba vinne vya kulala, sitting room,dinning place, kitchen,store,toilet& WC
 
Kwa vyumba vinne man bado hvo vymba ni vidogo mno
Kaweka vipimo vifuatavyo:

Sitting room (16ft × 16 ft)

Dinning (11 ft × 9 ft)

2 Bed rooms kila kimoja (9ft×10ft)

Master bed room (11 ×10 ft)

Na chumba cha wageni(8 ×10ft)

Kitchen( 6× 7)

Store(5×8)

Toilet, Public(2.8 × 5.6)

WC, public(3×5.6)

Master room toilet+ WC (4×7)

KWA HIVYO VIPIMO MKUU NI KIPI HAKIWEZEKANI(HAKIKO KAWAIDA)?
 
Kaweka vipimo vifuatavyo:

Sitting room (16ft × 16 ft)

Dinning (11 ft × 9 ft)

2 Bed rooms kila kimoja (9ft×10ft)

Master bed room (11 ×10 ft)

Na chumba cha wageni(8 ×10ft)

Kitchen( 6× 7)

Store(5×8)

Toilet, Public(2.8 × 5.6)

WC, public(3×5.6)

Master room toilet+ WC (4×7)

KWA HIVYO VIPIMO MKUU NI KIPI HAKIWEZEKANI(HAKIKO KAWAIDA)?
Humwamini; Piga chini huyo omba mchoraji mwingine ili upate uhakika; kwanza si vyema kumwamini mtaalam mmoja kwenye nyumba yako ya kuishi.
 
Kaweka vipimo vifuatavyo:

Sitting room (16ft × 16 ft)

Dinning (11 ft × 9 ft)

2 Bed rooms kila kimoja (9ft×10ft)

Master bed room (11 ×10 ft)

Na chumba cha wageni(8 ×10ft)

Kitchen( 6× 7)

Store(5×8)

Toilet, Public(2.8 × 5.6)

WC, public(3×5.6)

Master room toilet+ WC (4×7)

KWA HIVYO VIPIMO MKUU NI KIPI HAKIWEZEKANI(HAKIKO KAWAIDA)?
Je nyumba ni ya ghorofa au kawaida? Kama ni ya kawaida mimi ninavyoona ungefanya hivi:
1. Jiridhishe kwanza kama vipimo vya kila chumba ndivyo hivyo unavyohitaji kuwa. Mfano umeridhika na ukubwa wa sitting room kuwa 16ft x16ft?
2. Kisha pata ukubwa (square feet) kwa kila chumba kama ulivyotaja hapo juu. Kisha jumlisha hizo square feet kwa kila chumba. Mfano sitting room ambayo ni 16ft x16ft=256 square ft. Hizo 256 square feet ni sawa na 23.78 square metres. Fanya hivyo kwa kila chumba.
3. Baada ya kupata jumla ya square feet badilisha hizo square feet ziwe katika square metre.
4. Linganisha jibu ulilopata na hizo square metres za buit-up area ulizotajiwa na huyo mtaalamu wako.
Ushauri wa ziada: ni vizuri kutumia mchoraji uliye na uhakika wa ubora wa kazi zake ili kuepuka mashaka kama haya.
 
Je nyumba ni ya ghorofa au kawaida? Kama ni ya kawaida mimi ninavyoona ungefanya hivi:
1. Jiridhishe kwanza kama vipimo vya kila chumba ndivyo hivyo unavyohitaji kuwa. Mfano umeridhika na ukubwa wa sitting room kuwa 16ft x16ft?
2. Kisha pata ukubwa (square feet) kwa kila chumba kama ulivyotaja hapo juu. Kisha jumlisha hizo square feet kwa kila chumba. Mfano sitting room ambayo ni 16ft x16ft=256 square ft. Hizo 256 square feet ni sawa na 23.78 square metres. Fanya hivyo kwa kila chumba.
3. Baada ya kupata jumla ya square feet badilisha hizo square feet ziwe katika square metre.
4. Linganisha jibu ulilopata na hizo square metres za buit-up area ulizotajiwa na huyo mtaalamu wako.
Ushauri wa ziada: ni vizuri kutumia mchoraji uliye na uhakika wa ubora wa kazi zake ili kuepuka mashaka kama haya.
Yaani tatizo nimeshindwa kujua ukubwa wa kila chumba kiuhalisia kama inawezekana ndo maana niliomba mzoefu anisaidie
 
Yaani tatizo nimeshindwa kujua ukubwa wa kila chumba kiuhalisia kama inawezekana ndo maana niliomba mzoefu anisaidie
Pole mkuu. Kwa vipimo ulivyoonyesha hapo juu jumla ya square feet ni 867.48 ambazo ni sawa na 80.6 square metres. Kwa mtazamo wangu hiyo nyumba kuwa na built-up area ya 108 square metres inawezekana kabisa.

Hiyo tofauti ya 27.4 sqm (108-80.6) itakuwa ni eneo linalotumika kwa ajili ya kuweka msingi kuzunguka vyumba vyote vyenye hivyo vipimo. Hii ni kwa sababu hivyo vipimo ni vya ndani ya chumba bila kuhesabu eneo linalosimamishwa tofali zinazozunguka hicho chumba.
 
Possible kwa kuchukua at most hatua 10*11. Ni nyumba inatosha ila isiwe imemaliza Kiwanja maana hakuna Kiwanja cha vipimo hivyo
 
Nimepata ramani ya nyumba ya kuishi, yenye vyumba 4( kimoja kati ya hivyo ni self contained), sitting room, dinning room, jiko,choo na bafu(public) ukubwa wa nyumba ni 107.5 sq m lakini naangalia humu jf mijadala mingi kuhusu ujenzi inaonesha kama sq meter za hii ramani yangu ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya vyumba.Wakuu, kwa aliye na utaalamu juu ya ujenzi, naomba nifahamisheni kama inawezekana kwa huo ukubwa wa nyumba ikawa na sq m 108 au mchoraji wangu wa ramani kanidanganya?
Kaka acha uoga,eneo hilo la 107.5sqm linatosha kabisa kwa nyumba ya kuishi labda hofu yng vyumba vitakua vitakua sio vikubwa sn.
Ramani yng ni km yako kwa kila kitu ulichokitaja ila mi eneo lililokua covered kwa ujenzi ni 110sqm na vyumba vyangu ni vikubwa tu hyo sebule ndo usiseme.kwa kawaida chumba standard ni (3*3)m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom