Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,174
We una tv afu unaenda kupanda Tandale, lazima tukule chabo kwa kwenda mbele
Hahaha pal the Big show, mi wanapiga chabo hata nikiwa naangalia TV, Sa sijui huwa wana enjoy nini wakati wao wamesimama mie nimekalia sofa langu. Kuna siku niliwatimua wakakaa kama wiki wamerudi tena, naona ni kama ka utaratibu flani hivi wamejiwekea wanakapenda.