binjo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 2,115
- 1,240
Huyo ni mchungaji wako wewe si wachungaji wote. Ndo maana nili.sihi mtoa mada asipost vitu kwa jazba. Mfano nikikuuliza ww niambie ni wachungaji wa makanisa yapi tutajie hapa ambao ukitaka huduma ya kufunga ndoa utakataliwa kisa mchungaji hajarudhika na huyo mchumba wako. Hebu tutajie hapa tuache kuongea vitu kwa jazba na hisia. Yamkini tukawa tunawapinga kumbe mmeshafanya tafiti zenu na mda data za muaminika
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo nani kapaniki mtoa mada au wewe!?
Najaribu kusoma mada na hii moment Yako nakosa jibuu..