Hivi hawa vodacom ni makanjanja?

Hivi hawa vodacom ni makanjanja?

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
676
Wakuu siyo mara ya kwanza kunitokea, leo tena nimeingiza vocha ya elfu mbili, ile naangalia tu salio nakuta mia sita! Sasa kwanzia leo naanza kutafakari kutumia huu mtndao wa mijizi, yaani mtu unajibana unanunua vocha halafu wao wanakuchakachua hovyo hovyo, au ndo kodi ya sim kila mwezi buku 1000? Huku siyo kutenda haki ,
 
Wakuu siyo mara ya kwanza kunitokea, leo tena nimeingiza vocha ya elfu mbili, ile naangalia tu salio nakuta mia sita! Sasa kwanzia leo naanza kutafakari kutumia huu mtndao wa mijizi, yaani mtu unajibana unanunua vocha halafu wao wanakuchakachua hovyo hovyo, au ndo kodi ya sim kila mwezi buku 1000? Huku siyo kutenda haki ,

Mkuu Kama Unatumia Smart phone huwenda kuna App zipo waz muda wote ukiweka hata Elf 5 Inalambwa. Lakini kama ni Kitochi yafaa kuwatwangia uwaeleze tatizo hilo Watakurudishia Salio lako.
 
Mkuu Kama Unatumia Smart phone huwenda kuna App zipo waz muda wote ukiweka hata Elf 5 Inalambwa. Lakini kama ni Kitochi yafaa kuwatwangia uwaeleze tatizo hilo Watakurudishia Salio lako.

mimi niliwahi kuweka vocha ya elfu 10 voda...nikajaribu kununua kifurushi ikakataa...nikaamua kuzima "mobile data" hapo hapo..ila ile nacheki salio nikakuta 1200..hata sikupata tabu ya kuwatafuta customer care..laini yao iko kwenye droo..nilishahamia airtell
 
Wakuu siyo mara ya kwanza kunitokea, leo tena nimeingiza vocha ya elfu mbili, ile naangalia tu salio nakuta mia sita! Sasa kwanzia leo naanza kutafakari kutumia huu mtndao wa mijizi, yaani mtu unajibana unanunua vocha halafu wao wanakuchakachua hovyo hovyo, au ndo kodi ya sim kila mwezi buku 1000? Huku siyo kutenda haki ,

muwe mnazma Data kwanza kama haujajiunga na kifurush wenye smartphone wote tofaut na hvyo mtakuwa mnalalamika tu mbuz nyie
 
mimi niliwahi kuweka vocha ya elfu 10 voda...nikajaribu kununua kifurushi ikakataa...nikaamua kuzima "mobile data" hapo hapo..ila ile nacheki salio nikakuta 1200..hata sikupata tabu ya kuwatafuta customer care..laini yao iko kwenye droo..nilishahamia airtell

Sawa Mkuu,ila Ulipaswa Uzime Mobile Data Kwanza
 
mimi niliwahi kuweka vocha ya elfu 10 voda...nikajaribu kununua kifurushi ikakataa...nikaamua kuzima "mobile data" hapo hapo..ila ile nacheki salio nikakuta 1200..hata sikupata tabu ya kuwatafuta customer care..laini yao iko kwenye droo..nilishahamia airtell

ngoja niitafune laini yao!
 
Sawa Mkuu,ila Ulipaswa Uzime Mobile Data Kwanza

Unajua kama wewe ni mteja wa muda mrefu unaelewa kuwa kuna mara nyingi unaweka vocha kwenye simu na unasahau kununua kifurushi ila vocha yako haikatwi sana...sasa unapoona zaidi ya elfu 8 imelatwa in less than a minute wakati hakuna update yoyote iliyokuwa inaendelea unajua kuwa tayari imeshaibiwa..
Na hizi smart phone wanazisingizia sana..sio kweli kwamba muda wote zina upgrade applications..
Voda wamekuwa wezi wezi sana...tokea nimehamia airtell sijapata hiyo incident tena
 
Sim yangu sio smart lakini bdo salio linakatwa,lastwk niliweka elf mbili,sikutumia huduma yyt,kuangalia salio baada ya dk10 nkakuta sh600,VODACOM ni WEZI WAKUBWA.
 
mashine za EFD zimefungwa kijanja kwenye line za simu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom