Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,111
- 1,653
Profesa Mussa Juma Assad nimepata kumjua kiasi kipindi hiki cha mvutano wa Spkear Job Ndugai na yeye, kabla ya hapo nilimjua kwa mbali.
Nimeona msimamo wake thabiti dhidi ya haki, hekima na busara alizo nazo, stamina ya moyo nini ajibu na nini asijibu, uelewa mpana alio nao, ni mzalendo halisi dhidi ya rasilimali za taifa letu, ni mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu nk nk.
Najiuliza hivi hawa TISS kwenye michakato yao ya kuamua nani atakuwa mrithi wa JK hawakumuona huyu Profesa?
Nimeona msimamo wake thabiti dhidi ya haki, hekima na busara alizo nazo, stamina ya moyo nini ajibu na nini asijibu, uelewa mpana alio nao, ni mzalendo halisi dhidi ya rasilimali za taifa letu, ni mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu nk nk.
Najiuliza hivi hawa TISS kwenye michakato yao ya kuamua nani atakuwa mrithi wa JK hawakumuona huyu Profesa?