Hivi hatuna warembo zaidi ya hawa?

Hivi hatuna warembo zaidi ya hawa?

Bundewe

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
400
Reaction score
141
Hawa ni baadhi ya washiriki wa miss Kagera, vipi wako bomba?

group+2.JPG
 
ina maana kuvaa nusu uchi ndo vigezo vya kushiriki u miss au?????
 
Wanaonekana kama wako kibiashara zaidi
 
lips whatssss au ndiyo smile
naona bos wa mashindano hayo kuna namna na pia lu......a nae
Conquest-crap
 
Mbona wana vitambi....au kitu banana,wa pili kutoka mwisho kavaa jezi ya juventus au?
 
hawa ni baadhi ya washiriki wa miss kagera, vipi wako bomba?

group+2.jpg


mimi mboa sielewi... Wanatafuta mwenye mdomo mkubwa au mwenye kitumbo kilicho jaa local brew...!!!! Basi watatu either kutoka kulia au kushoto ndiyo miss lubisi..
 
Nimempenda huyo wa mwisho mfupi na hako ka refu ka kwanza kushoto, wanafaa kushinda.
 
Wameshachafuliwa sana tu mpaka ngazi hiyo! Wapo wazi hata kuwa uchi uli wapate ushindi.
 
hawana lolote midomo kama wana jiandaa kupuliza vuvuzela du!!
 
Hivyo vyote vinakunywa local brew. Ona midomo yao ilivyokaa kiwiziwizi tu.
 
Pamoja na vitambi na midomo kama vuvuzela na brush zote hizo, tatizo kubwa zaidi ni upstairs! Form four failure ndio wadau wakubwa wa tasinia hii! Matokeo yake vinakariri majibu, vinapanic vinashindwa kusema! Washiriki wetu Miss World hata kwenye background tu hawaonekani! kazi kubeba vinyago na mipicha ya twiga! Ubunifu uko wapi?
Lundenga nae ni libeneke tu!!! haaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom