Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Naomba kujua kama hizi tabia tulizonazo sisi kina kaka pia kina dada nao huwa nao huwa wanaambianaga, kwa mfano utakuta vijana huwa wanaambianaga kua aisee yule demu anajua majambozi au yule aisee anajua hiki na kile kwenye ulingo wa mapenzi, je kina dada huwa pia mnaambianaga kua aisee yule jamaa ni mkali kwenye majambozi au hiki na kile kwenye sekta ya malovee? Nawasilisha.