hivi hapa inakuwaje

mzabzab

JF-Expert Member
Aug 18, 2011
34,039
61,352
eti jamani mie nataka kuuliza wale ambao wameoa au kuolewa na mzungu alafu wakafanikiwa kupata watoto
je watoto wakiuliza baba mbona wee mweupe na mama mweusi au vice versa huwa wanajibugi nini?
 
Mzab ! Wajua watoto samtaimz huja na miswali ya kipasuakichwa lakini si lazima u'respond actual reply ! Majibu ya zugeshen hutumika, ukifika muda wao kujua watajua.
Mfano upo msemo "mtoto halali na pesa!"
Kwamba mtoto anaweza kulilia pesa/hela achezee, usimnyime ! Mpe tu anyamaze kulia, mwisho wa yote atalala nayo mkononi ! Unaichomoa na kuendelea na mengineyo.
 
Back
Top Bottom