eti jamani mie nataka kuuliza wale ambao wameoa au kuolewa na mzungu alafu wakafanikiwa kupata watoto
je watoto wakiuliza baba mbona wee mweupe na mama mweusi au vice versa huwa wanajibugi nini?
Mzab ! Wajua watoto samtaimz huja na miswali ya kipasuakichwa lakini si lazima u'respond actual reply ! Majibu ya zugeshen hutumika, ukifika muda wao kujua watajua.
Mfano upo msemo "mtoto halali na pesa!"
Kwamba mtoto anaweza kulilia pesa/hela achezee, usimnyime ! Mpe tu anyamaze kulia, mwisho wa yote atalala nayo mkononi ! Unaichomoa na kuendelea na mengineyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.