Hivi hapa Airtel wako serious kweli?

Hivi hapa Airtel wako serious kweli?

Kila baada ya mwezi gharama za bundle airtel zinapanda, malofa zitatushinda tu!
 
Hata mimi nlitaka kuweka uzi hapa. Airtel wameniboa kweli tigo nayo Internet Yao sijui ipoje hainifikishi kileleni kabisa..... Ngoja njaribu zantel aliyosema mdau hapo juu
 
Naona kuna mabadiliko tena ya vifurushi na hii hapa nimekutana nayo wakati naperuzi vifurushi vyao, are they really serious?

Duuh imekuwa buku tatu 3000.

Yaani nimechoka wameamua kuongeza bei kimya kimya makalio yao
Ngoja nihamie zantel
Mwisho wa yooote, nunua vocha za UNI za airtel kwa 1500/=
Dakika 140 za airtel to airtel
Dkika 5 mitandao yote
Na intenet bandle ya 1GB (hapa ndipo nilipopenda)
Nadhani pia wana service ya kuchagua bandle unalopenda!!
 
Hiyo mimi nilikutana nayo juzi nikinunua vifurushi airtel nilishangaa kweli kweli
 
Mwisho wa yooote, nunua vocha za UNI za airtel kwa 1500/=
Dakika 140 za airtel to airtel
Dkika 5 mitandao yote
Na intenet bandle ya 1GB (hapa ndipo nilipopenda)
Nadhani pia wana service ya kuchagua bandle unalopenda!!

Hizi zinapatikanaje mkuu, au unajiungaje?
 
Mwisho wa yooote, nunua vocha za UNI za airtel kwa 1500/=
Dakika 140 za airtel to airtel
Dkika 5 mitandao yote
Na intenet bandle ya 1GB (hapa ndipo nilipopenda)
Nadhani pia wana service ya kuchagua bandle unalopenda!!

Kwa mda gani unapewa wiki au siku
 
Hawa walikua wanatoa 1GB kwa pamoja, sasa hivi wamebadili wanakupa MB 700 na kila asubuhi wanakupa extra 50 MB za nyongeza, kwa hiyo inakuja ile ile 1 gb kwa wiki. Kujiunga piga *149*07#

Itabidi nikasajili zantel sasa
 
Mwisho wa yooote, nunua vocha za UNI za airtel kwa 1500/=
Dakika 140 za airtel to airtel
Dkika 5 mitandao yote
Na intenet bandle ya 1GB (hapa ndipo nilipopenda)
Nadhani pia wana service ya kuchagua bandle unalopenda!!

Bahati mbaya nazo wameshazibania hatupati tena huku. Zilitusave sana
 

Attachments

  • 1440703052881.jpg
    1440703052881.jpg
    24.3 KB · Views: 132
Back
Top Bottom