Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,197
Watu na nyg zao za kuzaliwa nazo hata akeshe kailoeka usishangae kesho anaomba na kwingine vitu vingine hata ukiuliza why huwa havina majibu!!!!
Hata Mungu aliwaamuru Adam na Hawa wasitengani, ealipotengana tu kwa mda mfupi shetani nae akafanya yake. Mkishaoana shurti kuambatana popote, azawaiz lazima shetani apitemo.
Yaani uiache iingie baridi? Si italiwa na nyenyere?
Kujiendekeza tu na kuendekeza tamaa za mwili
Hofu ya Mungu haipo mioyoni mwa watu.
Unapokuwa kwenye ndoa hutokea ngono inakuwa jadi. Inahitaji neema ya Allah kuvumilia upweke wa kukaa mbali na mwenzi wako! Can't comment on why uzinzi unazidi ku'take over
inategemea kwa mda gani pia
Ye huyo mwanaume huko achepuki... au kwa vile tumbo lake la uzazi.. halibebi mimba? Na watuache tulalee...
Uzinzi has no justification...in any way!
Mwanaume ni rahisi sana kukaa muda mrefu bila kufanya ngono, ila wanawake ni ngumu coz muda wote wanahisi wapweke na kutokuwa na thamani duniani, ila wapo wanaoweza pia ila hawa inategemea na malezi ya familia na namna moyo wake unavyomtuma na jinsi akili yake inavyofikiri na kuwachukulia wanaume.
Inafatana anaenda kukaa mbali kwa muda gani kama zaidi ya mwaka hata wanawake wanaoweza kuvumilia itakuwa ngumu,kwa mwanaume wiki tu ni sheeedaKukaa kipindi fulani bila kufanya ngono?
Mfano mimi familia yangu, baada ya mama kuja ughaibuni baba akavuta mke wazee wakadai ni makosa yake mama, baba asingeweza kukaa peke yake na nimeshuhudia dada mmoja akipewa mimba na mchepuko wake, baada ya mumewe kusafiri mkoani kikazi, swali langu wanajamii hatuwezi kabisa kukaa bila kufanya ngono?
Mbona often 'tunawatuhumu' wapenzi wetu ambao kwa sababu moja au nyingine,walitokea kuwa mbali nasi.
Kuwa ni 'makosa' yao tume-cheat, i mean why tuna justify uzinzi?
Aliekuambia hawaduu nani?Mbona masister na mapadri wanaweza jamani?
Hapo ni kinyume vise versa mwanaume wiki tu ni kama karne
una uhakika gn? wafunulie uoneMbona masister na mapadri wanaweza jamani?
Uzinzi mara nyingi ni tabia ya muhusika. Kwanini watu wanachepukiana vyumba vya jirani?Kukaa kipindi fulani bila kufanya ngono?
Mfano mimi familia yangu, baada ya mama kuja ughaibuni baba akavuta mke wazee wakadai ni makosa yake mama, baba asingeweza kukaa peke yake na nimeshuhudia dada mmoja akipewa mimba na mchepuko wake, baada ya mumewe kusafiri mkoani kikazi, swali langu wanajamii hatuwezi kabisa kukaa bila kufanya ngono?
Mbona often 'tunawatuhumu' wapenzi wetu ambao kwa sababu moja au nyingine,walitokea kuwa mbali nasi.
Kuwa ni 'makosa' yao tume-cheat, i mean why tuna justify uzinzi?