Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Naomba msaada Great Thinkers!
Kuna baadhi katika jamii wanaitwa Malaya...lakini wenyewe jina hilo hawalipendi asilani.
Sasa najiuliza kwani ni vitu gani ukifanya ndio unakua Malaya?
Mod naomba asini-BAN...imebidi nitumie jina hilo hilo hata kama kuna neno lake lenye tafsida. Ila mimi silijui.
Nisaidieeeeeeennniii!
Kuna baadhi katika jamii wanaitwa Malaya...lakini wenyewe jina hilo hawalipendi asilani.
Sasa najiuliza kwani ni vitu gani ukifanya ndio unakua Malaya?
Mod naomba asini-BAN...imebidi nitumie jina hilo hilo hata kama kuna neno lake lenye tafsida. Ila mimi silijui.
Nisaidieeeeeeennniii!