Ok! Ok! Ok! Bongolander.Nomino
malaya
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Tafsiri ndiyo inayo maanishwa mara nyingi neno hilo linapotajwa, lakini maana yake ni pana zaidi ya hapo. Inaweza kuhusu mwanaume au vitu.
Maana halisi ya Malaya ni "inayotumika kwenye vitu vingi", Kwa mfano kuna spana malaya inayoweza kufungua nati nyingi. Sina hakika kama ni sawa na neno la kiarabu fuska.
Lakini inategemea pia linazungumzwa wapi na anazungumza nani. Kuna wengine kugawa mwili wake kwa biashara ni umalaya, wengine huwa wanagawa mwili ovyo kwa tamaa zao za ngono, kutofautisha hawa wawili ndio maana kukawa na neno kahaba.
Hivi unaweza kujiita kwa wenzio jina hili?Mtu anayeuza mwili sio malaya bali ni kahaba. malaya ni mtu mwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi katika mda mfupi au muda mmoja.
Mtu anayeuza mwili sio malaya bali ni kahaba. malaya ni mtu mwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi katika mda mfupi au muda mmoja.
mhh bas dzain waanaume asilimia 99 ni MALAYA.Hapana hawa ma Ustaadhi sio malaya wao ni wana ndoa, ukiwa ndani ya ndoa hufanyi ngono unafanya tendo la ndoa, ila unapo kua nje yandoa ni unafanya ngono , hapo ndio una qualify kuitwa Malaya.
kweliHapo ni tofauti ya majina tu, lakini wote kahaba/malaya mahayawani tu!!
nidai pipi.umenenena vyemaMtu anayeuza mwili sio malaya bali ni kahaba. malaya ni mtu mwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi katika mda mfupi au muda mmoja.
kweli
mhh we mrongohalafu wewe, ntakuletea zawadi ya mwaka mpya baadae, embe bolibo!!!!!
mhh we mrongo
apanasio utani, tatizo huchelewi kusema utaenda TMK kusalimia mamaa kubwa!!!!!
ebwana shehe maalim eeh
kama we jibaba unagonga gonga madem sana unakuwa malaya
kama we demu unagongwa gongwa sana basi we malaya
kwa maana ya kuwa na demu au men zaidi ya mmoja kwenye life time moja
ebwana bab kubwa shehe maalim
mhh bas dzain waanaume asilimia 99 ni MALAYA.
nawasilisha.
WanaJF hivi ni idadi gani mwanamke/mwanamme akitembea nao kimapenzi anahesabika kuwa ni kicheche?
Hairuhusiwi kuzini. full stop