Nimekumbana na tatizo la mfumo wa Google kugomea kadi zote ninazozitumia, nimejaribu Mastercard prepaid/credit/debit zote hazikubaliwi, nimeomba hata za marafiki lakini wapi, imenibidi nianze kusaka ofisi zao Tanzania, ila sijafanikiwa siku mbili sasa natafuta na kuuliza wadau.
Naombeni wadau wa humu JF mwenye ufahamu wa hili anishauri wapi pa kwenda, na kama uliwahi kukumbana na tatizo la kadi ya malipo kwenye mfumo wa Google, hatimaye ulifaulu na kutatua kwa kutumia njia ipi?
Naombeni wadau wa humu JF mwenye ufahamu wa hili anishauri wapi pa kwenda, na kama uliwahi kukumbana na tatizo la kadi ya malipo kwenye mfumo wa Google, hatimaye ulifaulu na kutatua kwa kutumia njia ipi?