Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
B.m.w.=vituo vya mafuta,maloro ya kupeleka mafuta nje,wamma,hotel ya kitalii manyara nk.
Mimi naona wanajaribu kutafuta positions na popularity even after JK,s Presidential term. Lakini kama ni kufilisiwa watafilisiwa maana CCM itabidi ivunjwe kwa kutumia sheria mpya ya kukomesha rushwa na ufisadi ambayo itapaswa kutungwa siku 100 ya utawala wa CDM.