Hivi Ester Matiko ana chuki gani na Chato/Geita?

Hujajibu maswali yangu mawili. Mimi sitaki mipasho ya taarabu nahitaji majibu. Mwaka wa ujenzi wa uwanja wa KIA na sababu za kujengwa uwanja ule. Mipasho kwenye chit chat.
Kama hujui Historia ya ujenzi wa uwanja wa KIA shauri lako. Shule ulikwepa sasa leo unalazimisha twisheni. Toa hela ufundishwe. Unatoa povu weeeeeee. Eti mwaka, koma, waulize Chadema.
 
Kiongozi hata kama zikipitishwa Trilion 1,000 shida iko wapi kama Uwanja huo ni kwa manufaa ya Watanzania wote, kana faida ni kwa kikundi cha watu au mtu mmoja hapo litakuwa kosa baya na kubwa sana. Tuache Ushabiki, Uwanja wa KIA mbona fedha yake haikupitishwa na Bunge na bado hakuna anayelalamika? Tuache Ubaguzi wa Ukanda.
...na ndiyo maana mbunge anauliza, je wabunge wanakaa vikao vya bajeti vya kazi gani kama vinavyobajetiwa vinapuuzwa? eh?
si bora wabunge wakae majimboni mwao tu wale supu na wapiga kura wao badala ya kutekekeza kodi zetu kwa vikao hewa vya bajeti hewa!!
 
Hana chuki, anauliza Bajeti ya Ujenzi wa uwanja ilipangwa na Nani? Wao Kama Bunge walipitisha bilioni 2, lakini mpaka Leo imetumika bilioni 36,
Ni Nani aliyepitisha hizo Pesa?

Jibuni swali Acheni kupotosha ukweli,
Kuna wabunge WA ajabu sana sheria ya bajeti wanapitisha wao na katika utekelezaji wanalalama wao. Mfano sheria ya bajeti inaruhusu kufanya reallocation for 10% of the total budget. Sasa waamue kusiwe na reallocation ya bajeti basis. Wanahoji vitu vya ajabu. Mimi nilikuwa najua wabunge wanaelewa sheria wanazotunga. Lakini no ajabu kabisa
 
Nadhani haujaelewa hoja kuu ya mleta mada. Yeye analalamikia mbunge kusema kujengwa uwanja wa ndege Chato ni "misuse of resources" kana kwamba walioko huko chato hawana thamani ya kuweza kupata huo uwanja. Hajalalamikia kuhojiwa kwa fungu la huo ujenzi kwenye bajeti.

Wewe huuoni huo u misuse of funds hapo?? Chato kuna biashara gani itakayo rudisha hiyofedha ili tuitumie kwa manufaa mengine soon? Kumbuka kama ni kila mkoa kuwa na uwanja Pemba nadhani ndiyo ina haja zaidi
 
Kama hujui Historia ya ujenzi wa uwanja wa KIA shauri lako. Shule ulikwepa sasa leo unalazimisha twisheni. Toa hela ufundishwe. Unatoa povu weeeeeee. Eti mwaka, koma, waulize Chadema.
Nakupa pole makusudically. Kwaheri.
 
Back
Top Bottom