Hivi Ester Matiko ana chuki gani na Chato/Geita?

Kiongozi hata kama zikipitishwa Trilion 1,000 shida iko wapi kama Uwanja huo ni kwa manufaa ya Watanzania wote, kana faida ni kwa kikundi cha watu au mtu mmoja hapo litakuwa kosa baya na kubwa sana. Tuache Ushabiki, Uwanja wa KIA mbona fedha yake haikupitishwa na Bunge na bado hakuna anayelalamika? Tuache Ubaguzi wa Ukanda.
Admin naomba huyu mleta mada apigwe ban asipotuthibitishia kwamba uwanja wa KIA ulijengwa bila bajeti yake kupitishwa na bunge. Tujifunze kukinzana kwa hoja zenye ukweli
 
Mleta maada nipe athari chanya za kiuchumi kwa nchi yetu kwa kujenga uwanja wa ndege chato. hili swala halihitaji hata akili kubwa kuona kua ni uabadirifu wa pesa za uma. nijb nirudi tena
 
Kiongozi hata kama zikipitishwa Trilion 1,000 shida iko wapi kama Uwanja huo ni kwa manufaa ya Watanzania wote, kana faida ni kwa kikundi cha watu au mtu mmoja hapo litakuwa kosa baya na kubwa sana. Tuache Ushabiki, Uwanja wa KIA mbona fedha yake haikupitishwa na Bunge na bado hakuna anayelalamika? Tuache Ubaguzi wa Ukanda.
Kama bunge linapanga bajeti then serikali inajifanyia kazi bila kufuata bajeti kuna umuhimu gani wabunge kukaa siku 70 wakilipwa posho kwa ajili ya kujadili na kupitisha bajet
 
Serikali haiwajali wanyonge, wanatudanganya tu wakiwa majukwaani. Bajet ya kilimo ilitengwa billion 103 kilimo kama sehem kubwa ya watanzania wanyonge na mkimbozi wa wanyonge. Matokeo yake kilimo zikapelekwa billion 3 tu kati ya 103. Uwanja wa ndege Chato ambako wapanda ndege kwa mwezi hata 10 hawafiki walitengewa billion 2 zimepelekwa billion 39. Ukishabikia hili lazima wewe ni zwazwa
 
Kiongozi hata kama zikipitishwa Trilion 1,000 shida iko wapi kama Uwanja huo ni kwa manufaa ya Watanzania wote, kana faida ni kwa kikundi cha watu au mtu mmoja hapo litakuwa kosa baya na kubwa sana. Tuache Ushabiki, Uwanja wa KIA mbona fedha yake haikupitishwa na Bunge na bado hakuna anayelalamika? Tuache Ubaguzi wa Ukanda.
Wizi mtupu kampuni malanga akanmtukufu
 
Yaleyale ya kununua kiwanda na kubadili matumizi na kuanza kutunzia mifugo hapa naona wananchi wa chattle watabadilisha matumizi ya airport na kuwa choo cha kulipia kabisa
 
Wamedharau mamlaka ya Bunge.....kama walipitisha 2bil....kumbe gharama ni 32bil ni dharau...na matumizi mabaya ya ofisi...unamuweka mpwa wako KM Hazina.....mudautaongea...tunasubiri atoke tuone hao wapwa wataishije na awamuijayo!!! Lazima tuwashitaki akiwemo DAB!!
 
Kwa hiyo all of a sudden ishu ni budget na sio location tena???


Naamini upeo wako wa kufikiri na kujenga hoja ni zaidi ya hiki ulichoandika hapa,mradi mkubwa kama wa ujenzi wa Kiwanja cha ndege hauwezi kuwa "sudden issue" kama unavyotaka kutuaminisha.
 
Kiongozi hata kama zikipitishwa Trilion 1,000 shida iko wapi kama Uwanja huo ni kwa manufaa ya Watanzania wote, kana faida ni kwa kikundi cha watu au mtu mmoja hapo litakuwa kosa baya na kubwa sana. Tuache Ushabiki, Uwanja wa KIA mbona fedha yake haikupitishwa na Bunge na bado hakuna anayelalamika? Tuache Ubaguzi wa Ukanda.
Na wewe nawe ni GT?
 
Ninasikitishwa mno na Malalamiko ya Mh.Mbunge huyu, Je sisi watu wa Chato siyo Watanzania? Hatuna thamani? Madai ya kuwa ni "miss use of resources" haoni kuwa ni matusi? Kwa wabanchi wa Chato ni miss use of resources? Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi.

Kila eneo nchini lina haki ya kupata huduma za kijamii, ikiwepo maji, elimu, barabara nzuri, viwanja vya ndege, reli n.k. Chato ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo kwa muda wa miaka mitatu mpaka kumi ijayo itakuwa ni nyumbani kwa kiongozi mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Muungano. Hivi kuna makosa gani sehemu hii ikapatiwa huduma muhimu kama hii? Au, mnataka Raisi anaposafiri kuja nyumbani kwake apande treni?
 
Swali ni , Je! Hizo fedha zimeidhinishwa kwa bajeti iliyoko?? Msiwe na hasira mtu akiwauliza swali jamani. Kwani kikao cha bajeti kazi yake ni kwenda kuambiwa mlizotumia au mnazoomba kwenda kutumia. Ijulikane zitapatikanaje na mtumie kiasi gani. Hizo 2 billion kwanini mkaziomba?? Mngepeleka bungeni hayo maombi kwani ingelikuwa dhambi??
Nadhani haujaelewa hoja kuu ya mleta mada. Yeye analalamikia mbunge kusema kujengwa uwanja wa ndege Chato ni "misuse of resources" kana kwamba walioko huko chato hawana thamani ya kuweza kupata huo uwanja. Hajalalamikia kuhojiwa kwa fungu la huo ujenzi kwenye bajeti.
 
Back
Top Bottom