Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
- Thread starter
- #41
Kwa hakika wewe ni moja kati ya watu wenye uelewa wa hali ya juu kabisa, mantiki ya mada hiyo kuhusu kauli ya "mis use of resources" nini maana yake halisi? Ikumbukwe kila jamii inayo haki yakutumia resources za nchi hii equally. Suala la bunge kutopitisha fedha au kuzidisha kile kilichopitishwa hakiwezi kuwa mis use, bali ni mis appropriation" kauli ya mbunge huyu mi naiona ni dharau na kuwajengea chuki watu wa eneo hili.Nadhani haujaelewa hoja kuu ya mleta mada. Yeye analalamikia mbunge kusema kujengwa uwanja wa ndege Chato ni "misuse of resources" kana kwamba walioko huko chato hawana thamani ya kuweza kupata huo uwanja. Hajalalamikia kuhojiwa kwa fungu la huo ujenzi kwenye bajeti.