Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Naombeni kujuzwa suala hili, sio siri hakuna thread ya kwenye jukwaa la utambulisho ikakosa hii ID. Namshukuru sana kwa ukarimu wake maana hata na mimi alinikaribisha
Kaka ili kumwona mtu mahali lazma nawewe umo...so hata wewe kwenye lile jukwaa nakuona sana ukikaribisha wageni tena uliwaandalia na juice....hahahaaaaa Salamu zangu kwa Rejao na Katavi