kuna mwamba alikuwa anaitwa eastzuu nna ndo alivumisha hilo neno pale magorofani kikuyu aliwakula wanawake wa sekondari wengi akawa anawaandika kwenye kaunta kila anaemkula na akaacha wosia kuwa ye ni mwathirika bila shaka aliotembea nao pia ni waathirika tyr akadai daftar hilo lisomwe majina hayo siku ya mazishi yake.
aliwala warembo wengi pale dodoma mjini
shule cty, central, jamhur, dodm, kikuyu, hijra, merriw,n.k watu walipata presha na ndo jina likavuma zaidi mpk leo ukitaja eastzuu unaeleweka unataja miwaya.
R.I.P konki wa madent