Hivi East Zuu ni wapi?

Hivi East Zuu ni wapi?

huyu mwamba alikua wa kuitwa Adam,ilikua denm yeyote utakaemuulizia dom enzi hyo utaambiwa kapitiwa na adam
kuna mwamba alikuwa anaitwa eastzuu nna ndo alivumisha hilo neno pale magorofani kikuyu aliwakula wanawake wa sekondari wengi akawa anawaandika kwenye kaunta kila anaemkula na akaacha wosia kuwa ye ni mwathirika bila shaka aliotembea nao pia ni waathirika tyr akadai daftar hilo lisomwe majina hayo siku ya mazishi yake.


aliwala warembo wengi pale dodoma mjini

shule cty, central, jamhur, dodm, kikuyu, hijra, merriw,n.k watu walipata presha na ndo jina likavuma zaidi mpk leo ukitaja eastzuu unaeleweka unataja miwaya.

R.I.P konki wa madent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom