mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,502
- 18,180
Kama wewe ni fanatic wa miziki ya Hip hop ngumu hapa bongo nadhani ushawahi lisikia hili neno kuanzia kwa akina Profesa Jay hadi kwa a.k.a. mimi Ngwair R.I.P.
Hili jina lilikuwa halikauki mdomoni mwao.
Sasa ninataka kufahamu je East Zuu walikuwa wanamaanisha ukanda gani au sehemu gani hapa Tz?
Naomba kuwasilisha.
Hili jina lilikuwa halikauki mdomoni mwao.
Sasa ninataka kufahamu je East Zuu walikuwa wanamaanisha ukanda gani au sehemu gani hapa Tz?
Naomba kuwasilisha.

