stujadiliane
Member
- Jun 2, 2017
- 66
- 84
Nikisikiliza kauli hotuba tamu za wanasiasa na Mbwembwe zao kabla ya uchaguzi au wakati wa kuomba kura na chelea kusema hakuna Mwanasiasa mkweli
Nikiangalia matukio yanayo jitokeza baada ya uchaguzi nikalinganisha na kabla ya uchaguzi na cherea kusema ni vigumu mwanasiasa kuwa ukweli
Munisamehe wana siasa wote kama ni mewakwaza huo ni mtazamo wangu tu
Nikiangalia matukio yanayo jitokeza baada ya uchaguzi nikalinganisha na kabla ya uchaguzi na cherea kusema ni vigumu mwanasiasa kuwa ukweli
Munisamehe wana siasa wote kama ni mewakwaza huo ni mtazamo wangu tu