Yapo mkuu. Ila binadamu wanayatafuta kwa mabavu na nguvu zao tu bila kumuomb MUNGU, kwa mwanamke atajiremb kwa vitu bandia adi uzuri wa kwa mganga ili mwanaume ategeke na mwanaume atatafuta mali pesa nying adi kwa waganga kuongez utajir il wanawake wampate bila shida mwishowe unagundua mapenz hakuna kwasabab mmetafta kwa nguv za kibinadamu bila kumshirikisha MUNGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.