Marekani ni taifa lililobarikiwa; wanatumia ma Trillion ya dola regulate mifumo ya kimataifa...kwa nini?
Bila hawa dunia ingekuwa mahalia pa hovyo kabisa kuishi, kila taifa lingefanya litakavyo.
US kiboko; ukiwabishia tu wiki humalizi madarakani.
Bila hawa dunia ingekuwa mahalia pa hovyo kabisa kuishi, kila taifa lingefanya litakavyo.
US kiboko; ukiwabishia tu wiki humalizi madarakani.