Hivi Dodoma ni Jiji toka lini?

Hivi Dodoma ni Jiji toka lini?

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,405
Reaction score
29,811
20171213_110229.jpg

Habari.
Nimechungulia kidogo TBC na kukuta hili tukio la UFUNGUZI WA TAWI LA BENKI YA CRDB Dodoma.
Nimemsikia JPM akisema Jiji la Dodoma.
Swali: Ni lini Dodoma imekuwa jiji na ni lini lini ilikidhi vigezo??
Hata idadi ya wakazi tu sidhani kama imekidhi vigezo.
Je ni lini Dodoma imepewa hadhi ya ujiji na kwa vigezo vipi??
 
Muda Huu Haijawa Jiji Labda Punde Itakidhi Masharti
 
Tangia mwaka jana mwishoni Dodoma ilipewa hadhi ya jiji baada ya serikali kutangaza kuhamia huko
 
View attachment 649984
Habari.
Nimechungulia kidogo TBC na kukuta hili tukio la UFUNGUZI WA TAWI LA BENKI YA CRDB Dodoma.
Nimemsikia JPM akisema Jiji la Dodoma.
Swali: Ni lini Dodoma imekuwa jiji na ni lini lini ilikidhi vigezo??
Hata idadi ya wakazi tu sidhani kama imekidhi vigezo.
Je ni lini Dodoma imepewa hadhi ya ujiji na kwa vigezo vipi??
Kijana , kiongozi akishatamka wewe unatakiwa kutekeleza tu , " sijaribiwi , usinijibu hivyo mimi "
 
Mleta mada Dodoma ni Capital City itakuwaje isiwe na hadhi ya jiji?
 
Mleta mada Dodoma ni Capital City itakuwaje isiwe na hadhi ya jiji?
Ni nani na wapi kasema capital ninlazima iwe jiji??
Imekidhi vigezo vya kimataifa vya kuitwa jiji au na Yz tuna vigezo vyetu??
 
Dah afadhali kumbe na sisi tupo jijini ...watu wa Dar acheni wivu
 
Mkuu huu undumilakuwili buku 7 zetu utakua unazisikia tu Bombani.
 
Back
Top Bottom